6 “ ‘Basi kwa habari ya mlinzi, kama akiuona upanga ukija naye kwa kweli asipige baragumu+ na watu wasipate onyo lolote nao upanga uje na kuichukua nafsi kutoka kwao, hiyo itachukuliwa kwa sababu ya kosa lake yenyewe,+ lakini damu yake nitaidai kutoka mkononi mwa mlinzi.’+