4“Na sasa, Ee Israeli, sikilizeni masharti na maamuzi ya hukumu ninayowafundisha ninyi kufanya, ili mpate kuishi+ na kwa kweli mpate kuingia na kuimiliki nchi ambayo Yehova Mungu wa mababu zenu anawapa ninyi.
5Na Musa akaita Israeli+ wote na kuwaambia: “Sikia, Ee Israeli, masharti na maamuzi ya hukumu+ ambayo ninasema masikioni mwenu leo, nanyi mjifunze hayo na kuwa waangalifu kuyatenda.+