Yeremia 29:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 kwa sababu wametenda upumbavu katika Israeli,+ nao wanaendelea kufanya uzinzi pamoja na wake za wenzao+ na kuendelea kusema uwongo kwa jina langu mwenyewe neno ambalo mimi sikuwaamuru.+ “‘“Mimi ndiye ninayejua nami ni shahidi,”+ asema Yehova.’”
23 kwa sababu wametenda upumbavu katika Israeli,+ nao wanaendelea kufanya uzinzi pamoja na wake za wenzao+ na kuendelea kusema uwongo kwa jina langu mwenyewe neno ambalo mimi sikuwaamuru.+ “‘“Mimi ndiye ninayejua nami ni shahidi,”+ asema Yehova.’”