Zaburi 62:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Msitegemee upunjaji,+Wala kuwa ubatili kwa sababu ya unyang’anyi mtupu.+Mali ikiongezeka, msiiweke moyoni.+ Methali 14:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Yeye anayempunja mtu wa hali ya chini amemletea shutuma Mtengenezaji wake,+ lakini anayemwonyesha maskini kibali anamtukuza Yeye.+ Yakobo 5:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tazama! Mishahara iliyo haki ya wafanyakazi waliovuna mashamba yenu lakini ambayo mmeizuilia,+ inaendelea kupaaza kilio,+ na vilio vya kuomba msaada+ vya wavunaji vimeingia masikioni+ mwa Yehova wa majeshi.
10 Msitegemee upunjaji,+Wala kuwa ubatili kwa sababu ya unyang’anyi mtupu.+Mali ikiongezeka, msiiweke moyoni.+
31 Yeye anayempunja mtu wa hali ya chini amemletea shutuma Mtengenezaji wake,+ lakini anayemwonyesha maskini kibali anamtukuza Yeye.+
4 Tazama! Mishahara iliyo haki ya wafanyakazi waliovuna mashamba yenu lakini ambayo mmeizuilia,+ inaendelea kupaaza kilio,+ na vilio vya kuomba msaada+ vya wavunaji vimeingia masikioni+ mwa Yehova wa majeshi.