Mambo ya Walawi 19:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova. Marko 12:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ya pili ni hii, ‘Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.’+ Hakuna amri nyingine yoyote iliyo kubwa zaidi kuliko hizi.”
18 “‘Usilipize kisasi+ wala usiwe na kinyongo juu ya wana wa watu wako;+ nawe mpende mwenzako kama wewe mwenyewe.+ Mimi ni Yehova.
31 Ya pili ni hii, ‘Mpende jirani yako kama wewe mwenyewe.’+ Hakuna amri nyingine yoyote iliyo kubwa zaidi kuliko hizi.”