Marko 1:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Huko pia mtu mwenye ukoma akamjia, akimsihi hata kwa kupiga magoti, akamwambia: “Ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.”+ Luka 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Pindi nyingine alipokuwa katika moja kati ya majiji hayo, tazama! mwanamume mwenye kujaa ukoma! Alipomwona Yesu akajiangusha kifudifudi akamwomba, akisema: “Bwana, ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.”+
40 Huko pia mtu mwenye ukoma akamjia, akimsihi hata kwa kupiga magoti, akamwambia: “Ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.”+
12 Pindi nyingine alipokuwa katika moja kati ya majiji hayo, tazama! mwanamume mwenye kujaa ukoma! Alipomwona Yesu akajiangusha kifudifudi akamwomba, akisema: “Bwana, ikiwa tu unataka, unaweza kunitakasa.”+