7 Kisha akasema: “Rudisha mkono wako ndani ya mkunjo wa juu wa vazi lako.” Basi akaurudisha mkono wake ndani ya mkunjo huo. Alipouchomoa kutoka katika mkunjo huo, tazama, ulikuwa umerudishwa ukawa kama sehemu nyingine ya mwili wake!+
4 Kwa kweli yeye mwenyewe aliyachukua magonjwa yetu;+ na kwa habari ya maumivu yetu, yeye aliyabeba.+ Lakini sisi tulimhesabu kama aliyepata mapigo,+ aliyepigwa na Mungu+ na kuteswa.+