Mathayo 14:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Ndipo, bila kukawia, akawaagiza wanafunzi wake waipande mashua na kumtangulia kwenda upande ule mwingine, huku akiwaruhusu umati waende zao.+ Yohana 6:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa hiyo watu hao walipoona ishara alizofanya, wakaanza kusema: “Kwa hakika huyu ndiye nabii+ aliyepaswa kuja ulimwenguni.”
22 Ndipo, bila kukawia, akawaagiza wanafunzi wake waipande mashua na kumtangulia kwenda upande ule mwingine, huku akiwaruhusu umati waende zao.+
14 Kwa hiyo watu hao walipoona ishara alizofanya, wakaanza kusema: “Kwa hakika huyu ndiye nabii+ aliyepaswa kuja ulimwenguni.”