14 Lakini ofisa-msimamizi wa sinagogi, akiwa ameghadhibika kwa sababu Yesu alimponya siku ya sabato, akajibu na kuanza kuuambia umati: “Kuna siku sita ambapo kazi inapaswa kufanywa;+ kwa hiyo, njooni mponywe katika siku hizo, wala si siku ya sabato.”+