Mathayo 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na, tazama! mtu mwenye mkono uliopooza!+ Kwa hiyo ili wapate jambo la kumshitaki wakamuuliza, “Je, ni halali kuponya siku ya sabato?”+ Marko 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mara nyingine tena akaingia katika sinagogi, na mtu mmoja mwenye mkono uliopooza alikuwa humo.+
10 na, tazama! mtu mwenye mkono uliopooza!+ Kwa hiyo ili wapate jambo la kumshitaki wakamuuliza, “Je, ni halali kuponya siku ya sabato?”+