24 “Nao kwa kweli wataenda na kuitazama mizoga ya wale watu waliokuwa wakinikosea;+ kwa maana funza walio juu yao hawatakufa na moto wao hautazimwa,+ nao watakuwa chukizo kwa wanadamu wote.”+
28 Na msiwaogope+ wale ambao wanaua mwili lakini hawawezi kuiua nafsi; lakini badala ya hivyo mwogopeni+ yeye anayeweza kuangamiza vyote viwili nafsi na mwili katika Gehena.*+