Luka 12:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “Msiogope,+ kundi dogo,+ kwa sababu Baba yenu amekubali kuwapa ninyi ufalme.+ Yohana 10:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Yule asiyeingia katika zizi la kondoo kupitia mlango+ bali hupandia mahali pengine, huyo ni mwizi na mporaji.+
10 “Kwa kweli ninawaambia ninyi, Yule asiyeingia katika zizi la kondoo kupitia mlango+ bali hupandia mahali pengine, huyo ni mwizi na mporaji.+