Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Matendo 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Sasa Paulo alipojua kwamba sehemu moja ilikuwa ya Masadukayo+ lakini ile nyingine ya Mafarisayo, akapaaza sauti katika Sanhedrini hiyo: “Wanaume, akina ndugu, mimi ni Farisayo,+ mwana wa Mafarisayo. Ninahukumiwa+ juu ya tumaini la ufufuo+ wa wafu.”

  • Matendo 26:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini sasa kwa sababu ya tumaini+ la ahadi+ iliyotolewa na Mungu kwa mababu zetu nimeitwa kwenye hukumu;

  • Tito 2:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 huku tukilingojea tumaini la furaha+ na kufunuliwa kwenye utukufu+ kwa Mungu mkuu na kwa Mwokozi wetu, Kristo Yesu,

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki