10 Lakini kwa fadhili zisizostahiliwa+ za Mungu mimi niko kama nilivyo. Na fadhili zake zisizostahiliwa zilizonielekea mimi hazikuwa za bure,+ bali nilifanya kazi kuwapita wao wote,+ lakini si mimi bali ni fadhili zisizostahiliwa za Mungu zilizo pamoja nami.+