Luka 17:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Itakuwa vivyo hivyo siku ile ambayo Mwana wa binadamu atafunuliwa.+ 2 Wathesalonike 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 lakini, kwenu ninyi mnaopata dhiki, kitulizo pamoja nasi wakati wa ufunuo+ wa Bwana Yesu kutoka mbinguni pamoja na malaika zake wenye nguvu+ 1 Petro 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 ili sifa iliyojaribiwa ya imani+ yenu, iliyo na thamani kubwa zaidi kuliko dhahabu ambayo huharibika ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa moto,+ ipatikane kuwa sababu ya sifa na utukufu na heshima wakati wa ufunuo+ wa Yesu Kristo.
7 lakini, kwenu ninyi mnaopata dhiki, kitulizo pamoja nasi wakati wa ufunuo+ wa Bwana Yesu kutoka mbinguni pamoja na malaika zake wenye nguvu+
7 ili sifa iliyojaribiwa ya imani+ yenu, iliyo na thamani kubwa zaidi kuliko dhahabu ambayo huharibika ijapokuwa hiyo hujaribiwa kwa moto,+ ipatikane kuwa sababu ya sifa na utukufu na heshima wakati wa ufunuo+ wa Yesu Kristo.