2 Wakorintho 13:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mwishowe, akina ndugu, endeleeni kushangilia, kurekebishwa upya, kufarijiwa,+ kufikiri kwa upatano,+ kuishi kwa amani;+ na Mungu wa upendo na wa amani+ atakuwa pamoja nanyi. Wafilipi 2:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 fanyeni shangwe yangu ijae kwa kuwa mna akili ileile+ na mna upendo uleule, mkiunganishwa pamoja katika nafsi, mkishika wazo moja akilini,+
11 Mwishowe, akina ndugu, endeleeni kushangilia, kurekebishwa upya, kufarijiwa,+ kufikiri kwa upatano,+ kuishi kwa amani;+ na Mungu wa upendo na wa amani+ atakuwa pamoja nanyi.
2 fanyeni shangwe yangu ijae kwa kuwa mna akili ileile+ na mna upendo uleule, mkiunganishwa pamoja katika nafsi, mkishika wazo moja akilini,+