Zaburi 33:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova mwenyewe amevunja shauri la mataifa;+Amezuia fikira za vikundi vya watu.+ 1 Wakorintho 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upumbavu kwa Mungu;+ kwa maana imeandikwa: “Yeye huwakamata wenye hekima katika ujanja+ wao wenyewe.”
19 Kwa maana hekima ya ulimwengu huu ni upumbavu kwa Mungu;+ kwa maana imeandikwa: “Yeye huwakamata wenye hekima katika ujanja+ wao wenyewe.”