-
Matendo 17:18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
18 Lakini watu fulani kati ya Waepikurea na wanafalsafa+ Wastoa pia wakawa wanaongea naye kwa mabishano, na baadhi yao walikuwa wakisema: “Mpiga-domo huyu angependa kueleza jambo gani?”+ Wengine: “Anaonekana kuwa mtangazaji wa miungu migeni.” Kwa sababu alikuwa akitangaza habari njema ya Yesu na ufufuo.+
-