Danieli 7:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 “ ‘Na ufalme na utawala na ukuu wa falme zote chini ya mbingu zote wakapewa watu ambao ni watakatifu wa Aliye Mkuu Zaidi.+ Ufalme wao ni ufalme unaodumu mpaka wakati usio na kipimo,+ na tawala zote zitawatumikia na kuwatii wao.’+ 1 Petro 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 bali, kwa kupatana na Mtakatifu aliyewaita, ninyi wenyewe pia iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote,+
27 “ ‘Na ufalme na utawala na ukuu wa falme zote chini ya mbingu zote wakapewa watu ambao ni watakatifu wa Aliye Mkuu Zaidi.+ Ufalme wao ni ufalme unaodumu mpaka wakati usio na kipimo,+ na tawala zote zitawatumikia na kuwatii wao.’+
15 bali, kwa kupatana na Mtakatifu aliyewaita, ninyi wenyewe pia iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote,+