Matendo 18:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Tena, kwa sababu alikuwa akitaka kuvuka aingie Akaya, akina ndugu wakawaandikia wanafunzi, wakiwahimiza wamkaribishe kwa fadhili. Kwa hiyo alipofika huko, akawasaidia+ sana wale waliokuwa wameamini kwa sababu ya fadhili zisizostahiliwa+ za Mungu;
27 Tena, kwa sababu alikuwa akitaka kuvuka aingie Akaya, akina ndugu wakawaandikia wanafunzi, wakiwahimiza wamkaribishe kwa fadhili. Kwa hiyo alipofika huko, akawasaidia+ sana wale waliokuwa wameamini kwa sababu ya fadhili zisizostahiliwa+ za Mungu;