Mathayo 5:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Vivyo hivyo acheni nuru+ yenu iangaze mbele ya watu, ili wapate kuona matendo yenu mazuri+ na kumpa utukufu+ Baba yenu aliye mbinguni. Yohana 12:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Wakati mna nuru, iweni na imani katika nuru, ili muwe wana wa nuru.”+ Yesu alisema mambo hayo akaenda zake na kujificha mbali nao. 1 Yohana 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Yeye anayesema kwamba yumo katika nuru na bado anamchukia+ ndugu yake yumo katika giza hata hivi sasa.+
16 Vivyo hivyo acheni nuru+ yenu iangaze mbele ya watu, ili wapate kuona matendo yenu mazuri+ na kumpa utukufu+ Baba yenu aliye mbinguni.
36 Wakati mna nuru, iweni na imani katika nuru, ili muwe wana wa nuru.”+ Yesu alisema mambo hayo akaenda zake na kujificha mbali nao.
9 Yeye anayesema kwamba yumo katika nuru na bado anamchukia+ ndugu yake yumo katika giza hata hivi sasa.+