Mwanzo 6:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Baada ya hapo Yehova akasema: “Roho yangu+ haitavumiliana sikuzote+ na mwanadamu kwa kuwa yeye pia ni mwili.+ Kwa hiyo siku zake zitakuwa miaka 120.”+
3 Baada ya hapo Yehova akasema: “Roho yangu+ haitavumiliana sikuzote+ na mwanadamu kwa kuwa yeye pia ni mwili.+ Kwa hiyo siku zake zitakuwa miaka 120.”+