23 Basi akafutilia mbali kila kitu kilicho hai ambacho kilikuwa juu ya uso wa nchi, mwanadamu na mnyama, na mnyama anayetembea na kiumbe kinachoruka cha mbinguni, navyo vikafutiliwa mbali duniani;+ na Noa peke yake na wale waliokuwa pamoja naye ndani ya safina wakaendelea kuwa hai.+