Mathayo 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ufalme+ wako na uje. Mapenzi yako+ na yatendeke duniani kama ilivyo mbinguni.+ Mathayo 26:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Naye akasonga mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali+ na kusema: “Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki+ na kipitilie mbali kutoka kwangu. Lakini, si kulingana na mapenzi yangu,+ bali kulingana na mapenzi yako.”+ 1 Petro 4:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwa kusudi kwamba aishi wakati wake uliobaki katika mwili,+ si kwa ajili ya tamaa za wanadamu tena, bali kwa ajili ya mapenzi ya Mungu.+ 1 Yohana 2:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Zaidi ya hayo, ulimwengu unapitilia mbali na pia tamaa yake,+ lakini yeye anayefanya mapenzi+ ya Mungu anadumu milele.+
39 Naye akasonga mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akasali+ na kusema: “Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki+ na kipitilie mbali kutoka kwangu. Lakini, si kulingana na mapenzi yangu,+ bali kulingana na mapenzi yako.”+
2 kwa kusudi kwamba aishi wakati wake uliobaki katika mwili,+ si kwa ajili ya tamaa za wanadamu tena, bali kwa ajili ya mapenzi ya Mungu.+
17 Zaidi ya hayo, ulimwengu unapitilia mbali na pia tamaa yake,+ lakini yeye anayefanya mapenzi+ ya Mungu anadumu milele.+