2 Wakorintho 8:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 kwamba wakati wa jaribu kubwa chini ya mateso shangwe yao nyingi na umaskini mkubwa ulifanya utajiri wa ukarimu wao uwe mwingi.+ Waebrania 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa kuwa yeye mwenyewe ameteseka alipokuwa akijaribiwa,+ anaweza kuwasaidia wale wanaojaribiwa.+
2 kwamba wakati wa jaribu kubwa chini ya mateso shangwe yao nyingi na umaskini mkubwa ulifanya utajiri wa ukarimu wao uwe mwingi.+