8 Zaidi ya hilo, Yehova Mungu akapanda bustani kule Edeni,+ kuelekea mashariki; na humo akamweka huyo mtu aliyemuumba.+ 9 Kwa hiyo Yehova Mungu akachipusha ardhini kila mti wenye kupendeza macho na unaofaa kwa chakula na pia mti wa uzima+ katikati ya bustani na mti wa ujuzi wa mema na mabaya.+