1 Mambo ya Nyakati 1:29-31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Hizi ndizo asili za koo zao: mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi,+ kisha Kedari,+ Adbeeli, Mibsamu,+ 30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema, 31 Yeturi, Nafishi, na Kedema. Hao ndio waliokuwa wana wa Ishmaeli.
29 Hizi ndizo asili za koo zao: mzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayothi,+ kisha Kedari,+ Adbeeli, Mibsamu,+ 30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema, 31 Yeturi, Nafishi, na Kedema. Hao ndio waliokuwa wana wa Ishmaeli.