Mwanzo 32:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nakuomba uniokoe+ kutoka mikononi mwa ndugu yangu Esau, kwa maana naogopa kwamba anaweza kuja kunishambulia mimi,+ na pia akina mama na watoto wao. Mwanzo 32:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Vilevile mtamwambia, ‘Mtumishi wako Yakobo yuko nyuma anatufuata.’” Kwa maana Yakobo alisema moyoni mwake: ‘Nikimtumia zawadi kwanza+ huenda nikamtuliza, na huenda atanipokea kwa fadhili nitakapokutana naye baadaye.’
11 Nakuomba uniokoe+ kutoka mikononi mwa ndugu yangu Esau, kwa maana naogopa kwamba anaweza kuja kunishambulia mimi,+ na pia akina mama na watoto wao.
20 Vilevile mtamwambia, ‘Mtumishi wako Yakobo yuko nyuma anatufuata.’” Kwa maana Yakobo alisema moyoni mwake: ‘Nikimtumia zawadi kwanza+ huenda nikamtuliza, na huenda atanipokea kwa fadhili nitakapokutana naye baadaye.’