Mwanzo 46:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Wana wa Yuda+ walikuwa Eri, Onani, Shela,+ Perezi,+ na Zera.+ Lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani.+ Wana wa Perezi walikuwa Hezroni na Hamuli.+ Ruthu 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nyumba yako na iwe kama nyumba ya Perezi,+ ambaye Tamari alimzalia Yuda, kupitia uzao ambao Yehova atakupa kutoka kwa mwanamke huyu kijana.”+ 1 Mambo ya Nyakati 2:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Tamari,+ binti mkwe wa Yuda, alimzalia Yuda wana walioitwa Perezi+ na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano. Luka 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yesu+ alikuwa na umri wa miaka 30 hivi alipoanza kazi yake,+ akiwa mwana, kama alivyoonwa,wa Yosefu,+mwana wa Heli, Luka 3:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 mwana wa Aminadabu,mwana wa Arni,mwana wa Hezroni,mwana wa Perezi,+mwana wa Yuda,+ Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025) Toka Ingia Kiswahili Shiriki Mapendezi Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania Masharti ya Utumiaji Sera ya Faragha Mpangilio wa Faragha JW.ORG Ingia Shiriki Shiriki Kupitia Barua-pepe
12 Wana wa Yuda+ walikuwa Eri, Onani, Shela,+ Perezi,+ na Zera.+ Lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani.+ Wana wa Perezi walikuwa Hezroni na Hamuli.+
12 Nyumba yako na iwe kama nyumba ya Perezi,+ ambaye Tamari alimzalia Yuda, kupitia uzao ambao Yehova atakupa kutoka kwa mwanamke huyu kijana.”+
4 Tamari,+ binti mkwe wa Yuda, alimzalia Yuda wana walioitwa Perezi+ na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.
23 Yesu+ alikuwa na umri wa miaka 30 hivi alipoanza kazi yake,+ akiwa mwana, kama alivyoonwa,wa Yosefu,+mwana wa Heli, Luka 3:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 mwana wa Aminadabu,mwana wa Arni,mwana wa Hezroni,mwana wa Perezi,+mwana wa Yuda,+