Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 46:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Wana wa Yuda+ walikuwa Eri, Onani, Shela,+ Perezi,+ na Zera.+ Lakini Eri na Onani walikufa katika nchi ya Kanaani.+

      Wana wa Perezi walikuwa Hezroni na Hamuli.+

  • Ruthu 4:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nyumba yako na iwe kama nyumba ya Perezi,+ ambaye Tamari alimzalia Yuda, kupitia uzao ambao Yehova atakupa kutoka kwa mwanamke huyu kijana.”+

  • 1 Mambo ya Nyakati 2:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Tamari,+ binti mkwe wa Yuda, alimzalia Yuda wana walioitwa Perezi+ na Zera. Yuda alikuwa na jumla ya wana watano.

  • Luka 3:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yesu+ alikuwa na umri wa miaka 30 hivi alipoanza kazi yake,+ akiwa mwana, kama alivyoonwa,

      wa Yosefu,+

      mwana wa Heli,

  • Luka 3:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 mwana wa Aminadabu,

      mwana wa Arni,

      mwana wa Hezroni,

      mwana wa Perezi,+

      mwana wa Yuda,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki