Hesabu 4:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Wakati wa kuvunja kambi, Haruni na wanawe wataingia na kulishusha pazia linaloning’inia mbele ya sanduku la Ushahidi+ na kulifunika kwa pazia hilo.+ Waebrania 9:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Lakini nyuma ya pazia la pili+ kulikuwa na chumba cha hema kilichoitwa Patakatifu Zaidi.+
5 Wakati wa kuvunja kambi, Haruni na wanawe wataingia na kulishusha pazia linaloning’inia mbele ya sanduku la Ushahidi+ na kulifunika kwa pazia hilo.+