4 “Haya ndiyo mavazi watakayotengeneza: kifuko cha kifuani,+ efodi,+ joho lisilo na mikono,+ kanzu yenye miraba, kilemba,+ na ukumbuu;+ watamtengenezea Haruni na wanawe mavazi haya matakatifu ili wanitumikie wakiwa makuhani.
41 yale mavazi yaliyofumwa kwa ustadi ya kuhudumu mahali patakatifu, mavazi matakatifu ya kuhani Haruni,+ na mavazi ya wanawe ya kutumikia wakiwa makuhani.