27 Akajibu: “‘Lazima umpende Yehova Mungu wako kwa moyo wako wote kwa nafsi yako yote kwa nguvu zako zote na kwa akili yako yote’+ na ‘umpende jirani yako kama unavyojipenda mwenyewe.’”+ 28 Akamwambia: “Umejibu vizuri; endelea kufanya hivyo nawe utapata uzima.”+