15 “‘Mwanamume akifanya ngono na mnyama lazima auawe, mnapaswa pia kumuua mnyama huyo.+ 16 Mwanamke akienda kufanya ngono na mnyama,+ ni lazima mumuue mwanamke huyo pamoja na mnyama huyo. Lazima wauawe. Watakuwa na hatia kwa sababu ya vifo vyao wenyewe.