2 Samweli 22:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Njia ya Mungu wa kweli ni kamilifu;+Neno la Yehova ni safi.+ Yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia.+ Zaburi 18:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Yehova ni jabali langu na ngome yangu na Mwokozi wangu.+ Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,Ngao yangu na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama.*+ Zaburi 19:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+ Yakobo 1:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kila zawadi njema na kila tuzo kamilifu hutoka juu,+ hushuka kutoka kwa Baba wa mianga ya mbinguni,+ ambaye habadiliki au kugeuka kama kivuli.*+
31 Njia ya Mungu wa kweli ni kamilifu;+Neno la Yehova ni safi.+ Yeye ni ngao kwa wote wanaomkimbilia.+
2 Yehova ni jabali langu na ngome yangu na Mwokozi wangu.+ Mungu wangu ni mwamba wangu,+ ninayemkimbilia,Ngao yangu na pembe* yangu ya wokovu,* kimbilio langu salama.*+
7 Sheria ya Yehova ni kamilifu,+ hurudisha nguvu.*+ Kikumbusho cha Yehova kinategemeka,+ humfanya asiye na uzoefu awe na hekima.+
17 Kila zawadi njema na kila tuzo kamilifu hutoka juu,+ hushuka kutoka kwa Baba wa mianga ya mbinguni,+ ambaye habadiliki au kugeuka kama kivuli.*+