13 Basi Yoshua alikuwa amezeeka na umri wake ulikuwa umesonga sana.+ Kwa hiyo Yehova akamwambia, “Umezeeka na umri wako umesonga sana; na bado hamjamiliki sehemu kubwa ya nchi. 2 Hii ndiyo nchi ambayo imebaki:+ maeneo yote ya Wafilisti na ya Wageshuri+