Zaburi 17:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Nilinde kama mboni ya jicho lako;+Nifiche katika kivuli cha mabawa yako.+ Zaburi 36:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Jinsi upendo wako mshikamanifu ulivyo na thamani sana, Ee Mungu!+ Katika kivuli cha mabawa yako,Wanadamu hukimbilia.+ Zaburi 57:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Nionyeshe kibali, Ee Mungu, nionyeshe kibali,Kwa maana ninakukimbilia,+Ninakimbilia kivuli cha mabawa yako mpaka matatizo haya yapite.+ Zaburi 63:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana wewe ni msaidizi wangu,+Nami ninapaza sauti kwa shangwe katika kivuli cha mabawa yako.+
7 Jinsi upendo wako mshikamanifu ulivyo na thamani sana, Ee Mungu!+ Katika kivuli cha mabawa yako,Wanadamu hukimbilia.+
57 Nionyeshe kibali, Ee Mungu, nionyeshe kibali,Kwa maana ninakukimbilia,+Ninakimbilia kivuli cha mabawa yako mpaka matatizo haya yapite.+