-
1 Samweli 14:47, 48Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
47 Sauli akauimarisha ufalme wake juu ya Waisraeli, akapigana na maadui wake wote waliomzunguka, alipigana na Wamoabu,+ Waamoni,+ Waedomu,+ wafalme wa Soba,+ na Wafilisti;+ na mahali popote alipoenda aliwashinda. 48 Alipigana kwa ushujaa na kuwashinda Waamaleki+ na kuwaokoa Waisraeli kutoka mikononi mwa waporaji.
-