Tito 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 na inayotegemea tumaini la uzima wa milele+ ambao Mungu, asiyeweza kusema uwongo,+ aliahidi zamani za kale; Waebrania 6:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 ili kupitia mambo mawili yasiyobadilika ambayo kuhusiana nayo Mungu hawezi kamwe kusema uwongo,+ sisi ambao tumekimbia kwenda katika kimbilio tutiwe moyo kabisa ili tushike imara tumaini lililowekwa mbele yetu.
2 na inayotegemea tumaini la uzima wa milele+ ambao Mungu, asiyeweza kusema uwongo,+ aliahidi zamani za kale;
18 ili kupitia mambo mawili yasiyobadilika ambayo kuhusiana nayo Mungu hawezi kamwe kusema uwongo,+ sisi ambao tumekimbia kwenda katika kimbilio tutiwe moyo kabisa ili tushike imara tumaini lililowekwa mbele yetu.