2 Samweli 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Ndipo Mfalme Daudi akaingia na kuketi mbele za Yehova na kusema: “Mimi ni nani, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova? Na nyumba yangu ni nini hivi kwamba umenileta mpaka hapa nilipofika?+
18 Ndipo Mfalme Daudi akaingia na kuketi mbele za Yehova na kusema: “Mimi ni nani, Ee Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova? Na nyumba yangu ni nini hivi kwamba umenileta mpaka hapa nilipofika?+