Isaya 49:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Nitawafanya wale wanaokutesa wale nyama yao wenyewe,Nao watalewa kwa damu yao wenyewe kana kwamba ni kwa divai tamu. Na watu wote* watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,+Mwokozi wako+ na Mkombozi wako,+Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+
26 Nitawafanya wale wanaokutesa wale nyama yao wenyewe,Nao watalewa kwa damu yao wenyewe kana kwamba ni kwa divai tamu. Na watu wote* watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova,+Mwokozi wako+ na Mkombozi wako,+Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+