-
Kutoka 16:2, 3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Kisha kusanyiko lote la Waisraeli likaanza kuwanung’unikia Musa na Haruni nyikani.+ 3 Waisraeli waliendelea kuwanung’unikia wakisema: “Laiti mkono wa Yehova ungetuua katika nchi ya Misri tulipokuwa tukiketi kando ya vyungu vya nyama,+ tulipokuwa tukila na kushiba mikate. Sasa mmetutoa huko na kutuleta katika nyika hii ili kuliua kusanyiko hili lote kwa njaa kali.”+
-