4 Kisha akachukua dhahabu iliyokuwa kwenye vipuli hivyo, akatengeneza sanamu* ya ndama kwa kifaa cha kuchongea.+ Watu wakaanza kusema: “Huyu ndiye Mungu wenu, enyi Waisraeli, aliyewaongoza kutoka katika nchi ya Misri.”+
12 na Yehova akaniambia, ‘Ondoka, shuka upesi kutoka hapa, kwa sababu watu wako uliowatoa Misri wametenda mambo mapotovu.+ Wamegeuka upesi kutoka katika njia niliyowaamuru wafuate. Wamejitengenezea sanamu ya chuma.’*+