1 Mambo ya Nyakati 16:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Nanyi semeni, ‘Tuokoe, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Tukusanye na kutuokoa kutoka katika mataifa,Ili tulishukuru jina lako takatifu+Na tushangilie kukusifu wewe.+
35 Nanyi semeni, ‘Tuokoe, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Tukusanye na kutuokoa kutoka katika mataifa,Ili tulishukuru jina lako takatifu+Na tushangilie kukusifu wewe.+