Ayubu 28:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Naye akamwambia mwanadamu: ‘Tazama! Kumwogopa Yehova—hiyo ndiyo hekima,+Na kuepuka uovu ni uelewaji.’”+ Methali 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kumwogopa* Yehova ndio mwanzo wa ujuzi.+ Ni wapumbavu tu wanaodharau hekima na nidhamu.+ Mhubiri 12:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Huu ndio umalizio, baada ya mambo yote kusikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana huu ndio wajibu wote wa mwanadamu.+
28 Naye akamwambia mwanadamu: ‘Tazama! Kumwogopa Yehova—hiyo ndiyo hekima,+Na kuepuka uovu ni uelewaji.’”+
13 Huu ndio umalizio, baada ya mambo yote kusikiwa: Mwogope Mungu wa kweli+ na ushike amri zake,+ kwa maana huu ndio wajibu wote wa mwanadamu.+