-
Ufunuo 6:9, 10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
9 Alipofungua muhuri wa tano, nikaona chini ya madhabahu+ nafsi*+ za wale waliouawa kwa sababu ya neno la Mungu na kwa sababu ya ushahidi waliokuwa wametoa.+ 10 Wakasema kwa sauti kubwa: “Bwana Mwenye Enzi Kuu, mtakatifu na wa kweli,+ utajizuia mpaka lini kuhukumu na kulipiza kisasi cha damu yetu juu ya wale wanaokaa duniani?”+
-