Zaburi 97:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Enyi mnaompenda Yehova, chukieni maovu.+ Anaulinda uhai wa* washikamanifu wake;+Huwaokoa kutoka katika mkono wa* mwovu.+ Zaburi 101:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sitaweka kitu chochote kisichofaa* mbele ya macho yangu. Ninachukia matendo ya wale wanaokengeuka kutoka kwa jambo lililo sawa;+Sitashirikiana nao kamwe.* Methali 8:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia uovu.+ Ninachukia kujikweza na kiburi+ na njia ya uovu na maneno mapotovu.+ Methali 13:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwadilifu huchukia uwongo,+Lakini matendo ya waovu huleta aibu na fedheha. Waroma 12:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Upendo wenu na uwe bila unafiki.+ Chukieni maovu;+ shikamaneni na mema.
10 Enyi mnaompenda Yehova, chukieni maovu.+ Anaulinda uhai wa* washikamanifu wake;+Huwaokoa kutoka katika mkono wa* mwovu.+
3 Sitaweka kitu chochote kisichofaa* mbele ya macho yangu. Ninachukia matendo ya wale wanaokengeuka kutoka kwa jambo lililo sawa;+Sitashirikiana nao kamwe.*
13 Kumwogopa Yehova humaanisha kuchukia uovu.+ Ninachukia kujikweza na kiburi+ na njia ya uovu na maneno mapotovu.+