Methali 19:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Moyo wa mwanadamu una mipango mingi,Lakini shauri* la Yehova ndilo litakalodumu.+ Isaya 46:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Tangu mwanzo ninatabiri matokeo,Na tangu zamani za kale mambo ambayo bado hayajafanywa.+ Ninasema, ‘Uamuzi* wangu utasimama,+Nami nitafanya jambo lolote ninalopenda.’+
10 Tangu mwanzo ninatabiri matokeo,Na tangu zamani za kale mambo ambayo bado hayajafanywa.+ Ninasema, ‘Uamuzi* wangu utasimama,+Nami nitafanya jambo lolote ninalopenda.’+