9 “Nawe, Sulemani mwanangu, mjue Mungu wa baba yako na kumtumikia kwa moyo kamili+ na kwa nafsi yenye shangwe; kwa maana Yehova huichunguza kabisa mioyo yote,+ naye hutambua kila mwelekeo wa fikira.+ Ukimtafuta, atakuruhusu umpate,+ lakini ukimwacha, atakukataa milele.+