Isaya 1:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 “Sasa, njooni, na tunyooshe mambo kati yetu,” asema Yehova.+ “Ingawa dhambi zenu ni kama rangi nyekundu,Zitafanywa kuwa nyeupe kama theluji;+Ingawa ni nyekundu kama kitambaa chekundu,Zitakuwa kama sufu. 1 Wakorintho 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na bado baadhi yenu mlikuwa hivyo. Lakini mmeoshwa mkawa safi;+ mmetakaswa;+ mmetangazwa kuwa waadilifu+ katika jina la Bwana Yesu Kristo na kwa roho ya Mungu wetu.
18 “Sasa, njooni, na tunyooshe mambo kati yetu,” asema Yehova.+ “Ingawa dhambi zenu ni kama rangi nyekundu,Zitafanywa kuwa nyeupe kama theluji;+Ingawa ni nyekundu kama kitambaa chekundu,Zitakuwa kama sufu.
11 Na bado baadhi yenu mlikuwa hivyo. Lakini mmeoshwa mkawa safi;+ mmetakaswa;+ mmetangazwa kuwa waadilifu+ katika jina la Bwana Yesu Kristo na kwa roho ya Mungu wetu.