16 Ninamtambulisha kwenu Fibi dada yetu, ambaye ni mhudumu wa kutaniko lililo huko Kenkrea,+ 2 ili mumkaribishe katika Bwana kwa njia inayowastahili watakatifu, na kumpa msaada wowote ambao huenda akahitaji,+ kwa maana yeye pia alikuwa mtetezi wa wengi, kutia ndani mimi mwenyewe.